Home » » Warembo wa Vodacom Miss Tanzania watembelea Tarangire

Warembo wa Vodacom Miss Tanzania watembelea Tarangire


Mshiriki wa Vodacom Miss Tanzania Zelulia Manoko,akizungumza baada ya kufika katika lango kuu la kuingilia hifadhi ya taifa ya Tarangire mkoani Manyara jana na kujionea wanyama wa aina mbalimbali. Warembo hao wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani kwa watanzania. Katika hatua nyingine leo Miss Photogenic anataraji kutangwazwa na kujipatia tiketi ya kuingia katika nusu fainali ya shindano la Vodacom Miss Tanzania. Miss Photogenic atakuwa ni mrembo wa pili kuingia katiak hatua hiyo ya 15 bora baada ya Top Model
Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2011 wakiwa katika hifadhi ya taifa ya Tarangire mkoani Manyara jana walipjwenda kujionea wanyama na vivutio mbalimbali vya utalii katika hifadhi hiyo ya tano kwa ukubwa nchini. Warembo hao wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani kwa watanzania. Katika hatua nyingine leo Miss Photogenic anataraji kutangwazwa na kujipatia tiketi ya kuingia katika nusu fainali ya shindano la Vodacom Miss Tanzania. Miss Photogenic atakuwa ni mrembo wa pili kuingia katiak hatua hiyo ya 15 bora baada ya Top Model. 
(Picha na Father Kidevu Blog).
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. PICHA NA HABARI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger