
Mr Simple, Diwani wa Ticket ya CHADEMA

Zay B jukwaani

Daz baba akifanya kweli

Sister P akikamua

Mheshimiwa Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bunge na Mwenyekti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwasalimia mashabiki waliohudhuria tamasha viwanjani hapo Kulia Kwake ni Mbunge wa Mbeya Mjini- Chadema Joseph Mbilinyi ‘Sugu’

Mbunge wa Mbeya Mjini- Chadema Joseph Mbilinyi ‘Sugu(kushoto)akiwa na Mbunge wa Ubungo -CHADEMA John Mnyika Jukwaani
Wasaniii Kibao Wakifanya Vitu Vya Kwenye Tamashala Vinega
Salaam kutoka kwa mashabiki 




Sehmu kubwa ya Maeelfu ya watu waliojitokeza kwenye tamasha la kihistoria la Vinenga
Wadau Mbalimbali
Mheshimiwa Mbunge wa Mbeya Mjini- Chadema Joseph Mbilinyi ‘Sugu’(Kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na Mdau Hajji Muki na Kulia ni Mheshimiwa Mbunge wa Ubungo -CHADEMA)John Mnyika ndani ya Tamasha la Vinega
Mbunge wa Mbeya Mjini- Chadema Joseph Mbilinyi ‘Sugu(kushoto)akiwa na Mbunge wa Ubungo -CHADEMA John Mnyika Jukwaani
Post a Comment